Msiwe na wasiwasi mkisema, “Tutakula nini?” au “Tutakunywa nini?” au “Tutavaa nini?”… Baba yenu wa mbingui anafahamu kwamba mnahitaji yote hayo. Lakini uta futeni kwanza Ufalme wa mbinguni na haki yake, na haya yote mtaongezewa. Kwa hiyo msihangaike kuhusu kesho, kwa sababu kesho itajihangaika yenyewe. Kila siku ina shida zake za kutosha.
Do not worry, saying, “What shall we eat?” or “What shall we drink?” or “What shall we wear?”… for your heavenly Father knows that you need all these things. But seek first the kingdom of God, and His righteousness, and all these things shall be added to you. Therefore do not worry about tomorrow, for tomorrow will worry about its own things. Sufficient for the day is its own trouble.
– Matthew 6:31-34